otchoujr's Reading List
5 stories
 STAINS OF LOVE                by otchoujr
STAINS OF LOVE
otchoujr
  • Reads 87
  • Votes 13
  • Parts 10
Best love poetic flavour from otchou jr, To make you enthusiastic and feel the passion, pain and prudence of love. ***Enjoy the rhythmic scheme , of it's unique approach*****
UBAYA  WANGU (  Simulizi fupi):  by otchoujr
UBAYA WANGU ( Simulizi fupi):
otchoujr
  • Reads 31
  • Votes 2
  • Parts 5
Kuishi ni neema kubwa kutoka kwa Allah subahanahu wataAllah, kwani ukiishi unakuwa miongoni mwa waja wachache waliorudhukiwa fursa hii adhimu. Maisha ni kuwa wewe , na sio kumuishi mtu fulani kwa kumuigiza , maana siku yakiisha maigizo huja kudharirika kwa kuwa ule utandu wa dhahabu uliokusitiri hufunuka na kuonekana kutu iliyokuganda . Kuna kumpenda asiyekupenda , ukamshawishi akupende na ukafanikiwa . pia kuna kumpenda akupendaye mkapendana na mkashikamana , kuna kumpenda akupendaye sana ikakuchanganya , na hali zenye kufanana na hizi nyingi kwa mifano . Nilivutiwa na Jamila kwa hulka yake ya kujitanda na mwanya kabla ya kumjua kiundani zaidi , nilianzisha mazoea naye na yalipokolea nilipata hisia za mapenzi juu yake , na nilipomweleza hakuwa na hiyana, tulikuwa wapenzi kichuo chuo na nilimsaidia katika shida na raha , na yeye alinisaidia kimawazo. Kupenda sana ikawa udhaifu, nilipomjua kwa undani zaidi hatukukosa kugombana kwa kutofautiana kauli kutokana na mihemko yangu ya kimwili. Nililemewa na mapenzi na niliishia kupata sup ya somo la Uchumi kutokana na kutumia muda mwingi kuchati naye na yeye pia aliniambia alipata sup ya somo la sheria , nilimblock mara kadhaa na kumuunblock nilipohisi dalili za usaliti , pia nilipomueleza habari ya kunicheat tulipishana kauli . Maisha yamekwenda mbiyo sana , ila kwa sasa simtaki tena maishani kwangu , Alhamdullah sikuwahi kuzini nae maana si halali yangu kwa kuwa hatuna ndoa yenye kutushikamanisha naye. Ubaya wangu ni kuwa nikipenda huwa napenda kweli na nikichukia huwa sipendi tena, Allah amjaalie mafanikio kwenye njia yake anayoiendea , ukurasa wake kwenye kitabu cha maisha yangu nimeufunga.
Miss World Or Miss Akhirah?✔ by Sarahss2000
Miss World Or Miss Akhirah?✔
Sarahss2000
  • Reads 209,693
  • Votes 15,387
  • Parts 24
Highest ranking #6 in spiritual on 20/12/17 **** Nobody is perfect. Every individual has certain habits they are not proud of and would love to get rid of. Some would be lucky to overpower Shaitan and succeed in getting rid of the bad habits, especially the major ones. This is the story of how Hameedah, a teen that--at the beginning--generally only cares about worldly pleasures, strives to get rid of her own bad habits in order to hopefully secure a good Akhirah.
BOMU LA KISAIKOLOJIA. by otchoujr
BOMU LA KISAIKOLOJIA.
otchoujr
  • Reads 138
  • Votes 0
  • Parts 12
Sio kosa langu Mimi Yasini , ujana umenipeleka kuwa hodari wa kugawa dozi , si tu mtaani ata shuleni pia kwa wanafunzi wenzangu na ata kwa Mamadamu wenye " shobo dundo ". Wasichana ni walewale " peleka moto , usilembe". Hawana shukrani , ni waongo, wasaliti, walaghai. Mimi YASINI , sihitaji kulaumiwa kwani kwa ufuska wa huyu " ROSE", pigo nililompa naona ni stahiki yake. Nakualika NDUGU YANGU unipe mawazo yako juu ya usahihi wa maamuzi yangu , kupitia kusoma mkasa huu •••••••• SONGA NAYO.
News & Updates by Wattpad
News & Updates
Wattpad
  • Reads 56,558,686
  • Votes 405,083
  • Parts 83
Stay connected to all things Wattpad by adding this story to your library. We will be posting announcements, updates, and much more!