user84728237's Reading List
15 stories
Time after time by paulnovels01
paulnovels01
  • WpView
    Reads 287
  • WpVote
    Votes 5
  • WpPart
    Parts 1
Peter ni binadamu ambaye alikuwa haelewi maisha yake aliumbwa kwa ajili gani na kwa nini alikuwa duniani.Kifo cha mpenzi wake wa siku nyingi siku ya harusi yao ndicho kilichokuwa kikimtia wazimu na kumfanya ajisikie upweke mkubwa katika maisha yake.Hakuruhusu moyo wake upende tena na hili liliwapa wakati mgumu sana kina dada kuingia katika mahusiano ya ki mapenzi na Peter.Baada ya miaka mingi sana Peter anagundua kifo cha mpenzi wake kilipangwa na watu asiowajua na kifo hichi kilimfungilia njia nyingi sana ambazo zilimsaidia kutafuta ukweli.Je ni nani aliyepanga kifo cha mpenzi wake? ni nini hatma ya Peter baada ya kujua hivyo?
Uchungu Wa Mwana by marymulondu
marymulondu
  • WpView
    Reads 18
  • WpVote
    Votes 3
  • WpPart
    Parts 1
Uchungu wa Mwana ni Riwaya yenye hadithi fupi. Riwaya hii inagusia sana maisha ya kilala hoi na ya watu wanaohangaika kila uchao aghalau kupata kitu cha kutia tumboni. Ina mkusanyiko wa hisia, kuna upendo, chuki, matatizo ya kikweli. Ungana nami ili kujua Maisha ya Binti Mwinyi yalifikia wapi baada ya kuwa na mahangaiko si haba katika safari yake ya maisha. Riwaya hii ni kazi yangu binafsi pasiwe na mtu hata mmoja mwenye nia ya kuitolesha bila ya idhini yangu.
Let's Learn Swahili  by swahiligirl
swahiligirl
  • WpView
    Reads 6,290
  • WpVote
    Votes 477
  • WpPart
    Parts 34
Let's learn a new language so that we can have more people to annoy.
Have fun with Swahili  by Sue_jul
Sue_jul
  • WpView
    Reads 1,295
  • WpVote
    Votes 54
  • WpPart
    Parts 8
The world's seventh fast growing language...learn it here for free from yours truly here!! Be updated!!!! welcome!!!
Ipo Siku  by __chiefdom
__chiefdom
  • WpView
    Reads 703
  • WpVote
    Votes 59
  • WpPart
    Parts 17
Wosia wa babu yangu ukitimia naapa nitakua mtu asiye na kiburi.Naapa kutimiza yote aliyoninongonezea na ninaapa kuitunza aila yangu bila kiburi wala dharau. Maana natumai IPO SIKU.
MALAIKA WA MCHANA ,SHETANI WA USIKU by Mganya
Mganya
  • WpView
    Reads 39
  • WpVote
    Votes 0
  • WpPart
    Parts 1
Hawa anamkimbia mumewe na kuingia ndani ya boti ya mwisho majira ya usiku huku akiambatana na mwanawe wa kike.Mengi yanamtokea Hawa kufikisha ndoto zake za kuwa huru.
SAMAHANI by kekure
kekure
  • WpView
    Reads 369
  • WpVote
    Votes 28
  • WpPart
    Parts 3
swahili love story. A short story. Husband kicks wife out of his house. Will he find another or will he seek after his love?
Nisamehe Mpenzi by ndunguerick
ndunguerick
  • WpView
    Reads 957
  • WpVote
    Votes 46
  • WpPart
    Parts 9
Matuko atafanyani agunduapo kuwa Maria ni msaliti? Monicah atafanyani agunduapo kuwa Kelvin ni msaliti?
Nifanye Na Mimi Kaka Dick.  Na Juma Hiza     by senior009
senior009
  • WpView
    Reads 2,437
  • WpVote
    Votes 73
  • WpPart
    Parts 19
Kijana aliye fanikiwa kuwa hodari sana alijitoza katika anasa za dunia......
This Thing Called Life (Book 3) by Riaah22
Riaah22
  • WpView
    Reads 200,701
  • WpVote
    Votes 6,364
  • WpPart
    Parts 52
Book 3