hancyabdon
Ni mwaka wa uchaguzi wa rais, wananchi wanampenda rais wao mpaka vyama pinzani lakini viongozi wenzake baadhi wanakutana kwa ajili ya kupanga kumuua ndipo wanapokubaliana kumtumia mtu hatari aliyefungwa gereza lililopo kisiwani,wanapanga mpango wa kumtorosha ili aje afanye hiyo kazi huku wakikubaliana kuwa hakimaliza wamuue na yeye ndipo wanapomtumia binti mmoja ambaye ni miss tanzania kwa wakati huo kwa ajili ya kufanya kazi hiyo lakini mambo yanabadirika unajua kinatokea nini.......... fuatilia kisa hiki sitokuanguashaa katika kazi hii..😋😋😋