hancyabdon
kisasi, mapenzi, usaliti,wivu vinachukua nafasi katika maisha ya watubwanajikuta wakifanya mambo yakikatili ili kupata furaha maishani mwao,wanakuja kujuta baada ya kuingilia upande usiokuwa na huruma raisi anauwawa funguo inakuwa chanzo......................na mengine mengi unagana nami nikufunulie ya nyuma ya pazia