Story cover for HIDAYA YA MACHOZI by hillaryrono47
HIDAYA YA MACHOZI
  • WpView
    Прочтений 471
  • WpVote
    Голосов 87
  • WpPart
    Частей 29
  • WpView
    Прочтений 471
  • WpVote
    Голосов 87
  • WpPart
    Частей 29
Завершенная история, впервые опубликовано апр. 20, 2020
Masihara na Jeni wanajipata penzini, hawajui kuwa huo ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa raha maishani mwao. wanapokanwa na kufukuzwa nyumbani na wazazi,  wao hadi kupitia changamoto nyingi kutokana na kukubali kuongozwa na hisia zao. 

kitabu hiki kinasimulia kwa mapana na marefu mengi mabaya wanayokumbana nayo Jeni na Masihara na hata kujipata matatani mara moja ama mbili.
Все права сохранены
Подпишись, чтобы добавить HIDAYA YA MACHOZI в свою библиотеку и получать обновления
или
#2love
Требования к контенту
Вам также может понравиться
UBAYA  WANGU (  Simulizi fupi):  от otchoujr
5 Части В процессе
Kuishi ni neema kubwa kutoka kwa Allah subahanahu wataAllah, kwani ukiishi unakuwa miongoni mwa waja wachache waliorudhukiwa fursa hii adhimu. Maisha ni kuwa wewe , na sio kumuishi mtu fulani kwa kumuigiza , maana siku yakiisha maigizo huja kudharirika kwa kuwa ule utandu wa dhahabu uliokusitiri hufunuka na kuonekana kutu iliyokuganda . Kuna kumpenda asiyekupenda , ukamshawishi akupende na ukafanikiwa . pia kuna kumpenda akupendaye mkapendana na mkashikamana , kuna kumpenda akupendaye sana ikakuchanganya , na hali zenye kufanana na hizi nyingi kwa mifano . Nilivutiwa na Jamila kwa hulka yake ya kujitanda na mwanya kabla ya kumjua kiundani zaidi , nilianzisha mazoea naye na yalipokolea nilipata hisia za mapenzi juu yake , na nilipomweleza hakuwa na hiyana, tulikuwa wapenzi kichuo chuo na nilimsaidia katika shida na raha , na yeye alinisaidia kimawazo. Kupenda sana ikawa udhaifu, nilipomjua kwa undani zaidi hatukukosa kugombana kwa kutofautiana kauli kutokana na mihemko yangu ya kimwili. Nililemewa na mapenzi na niliishia kupata sup ya somo la Uchumi kutokana na kutumia muda mwingi kuchati naye na yeye pia aliniambia alipata sup ya somo la sheria , nilimblock mara kadhaa na kumuunblock nilipohisi dalili za usaliti , pia nilipomueleza habari ya kunicheat tulipishana kauli . Maisha yamekwenda mbiyo sana , ila kwa sasa simtaki tena maishani kwangu , Alhamdullah sikuwahi kuzini nae maana si halali yangu kwa kuwa hatuna ndoa yenye kutushikamanisha naye. Ubaya wangu ni kuwa nikipenda huwa napenda kweli na nikichukia huwa sipendi tena, Allah amjaalie mafanikio kwenye njia yake anayoiendea , ukurasa wake kwenye kitabu cha maisha yangu nimeufunga.
Вам также может понравиться
Slide 1 of 10
Brother, don't hate me 🥀 cover
HIDAYA YA MACHOZI cover
mery ur heart cover
váratlan találkozás. cover
UBAYA  WANGU (  Simulizi fupi):  cover
My badboy cover
mały świat 9;  cover
Tytuł Domyślny - Napisz Swój cover
Bad idea, right? - Tom Kaulitz cover
Chapitre 1 sans titre cover

Brother, don't hate me 🥀

2 Части Завершенная история

ini adalah kisah perjalanan seorang adik perempuan dengan ke2 kakak laki²nya. dari kebahagiaan hingga pengorbanan sang adik demi keutuhan keluarganya. mengajarkan tentang pentingnya hubungan persaudaraan 🫧 >]Penasaran?🤔 ;ayo kita baca ceritanya sekarang .jangan lupa dihadapi dan diresapi 🧚‍♀️