Story cover for Kwanini Umeolewa?  (Why Did You Get Married?) by GodMuya
Kwanini Umeolewa? (Why Did You Get Married?)
  • Reads 48
  • Votes 2
  • Parts 2
  • Reads 48
  • Votes 2
  • Parts 2
Complete, First published Sep 04, 2020
Hii Ni Stori Ya Kweli na Ya Kusisimua, inayemuhusu Kijana Wa Ki Tanzania Alieachwa na Mpenzi Wake na Kwenda Kuolewa Bila Kumpa Taarifa yeyote kwamba anaolewa,Hutojutia Kusoma Na Muda wako Pia.ASANTE.
All Rights Reserved
Sign up to add Kwanini Umeolewa? (Why Did You Get Married?) to your library and receive updates
or
#8love
Content Guidelines
You may also like
THE TASTE OF LOOSING HER  by KondoRKondo
1 part Ongoing
Hatupotezi watu ghafla kama taa inapozima wakati umeme unapa katika, inafanyika kwa wakati na awamu. Japo mara nyingu huja kuyaona matokeo na si mlolongo ulio pelekea matokeo. Ile hofu wa kumuona baba amerudi mikono mitupu bila kamfuko chenye nguo za skukuu na kesho ndio skukuu yenyewe,ama ule uoga wa kutazama kulia na kushoto bila kumuona mama na upo kati kati ya umati wa watu sokoni hivi ni vitu ambavyo mtoto vina mstua moyo kama jinsi ambavyo mtu mzima anapo soma habari ya maafa ya tetemeko la Ardhi kwenye eneo la analo ishi mtu amoendae na sim inaita hapokei.. . Sononi ya kuagana na rafiki zako ulio kua nao pale unapo hama mtaa, sononi ya kutazama matokeo ya mwisho na uone umefeli, sononi ya kujua kua mpenzi wako ame kusaliti, sononi ya kumuona mtu unae mpenda akiwa na mtu mwingine, sononi ya kutofikia ndoto zako iko so real Kila mmoja ana yakwake anayo pitia hataka si yote basi moja amesha pitia ila mengi tubapitia na pengine wengine wana pitia kwa sababu yetu Huwezi kufahamu ni maumivu ama furaha kiasi gani unasababisha kwa mtu kwa sababu mara zote tume kua tuki chagu yalio bora kwetu na si bora kwa ulimwengu,, na hii ndio tafsiri ninayo dhani mahusiano ya ki binadamu hufafanuliwa na walio wengi kua tunahitaji kilicho bora kwetu na si kutoa kiricho bora. Lile kumbato unalo toa ukiwa hauhisi chochote inawezekana unae mkumbatia kumbato hilo hilo likaka a kwa zaidi ya miaka 30, lile neno la kawaida kwako ulilo mwambia mtu kama utani ama kwa kuto kutilia maanani pengine ni neno la kuvunja kabisa moyo wake au kustawisha mbegu ambayo inaenda kumtesa. Siku zote hufanyika pole pole... Umbali unao tembe na mtu unapimwa na vituo mlivyo simama kati ya safari sababu hata mkitaka hatua zenu hazita lingana na hii ndio hata askari hutembea sawa kwenye gwaride na hupishana wanapo tekeleza walicho fundishwa kwenye gwaride..
You may also like
Slide 1 of 10
Bunga Belum Mekar cover
Sehangat Cahaya Cinta cover
you belong to me  cover
Mapenzi Ya Pembetatu cover
THE TASTE OF LOOSING HER  cover
Menikahi Sekretaris Papi  cover
La Vida De ÖZILL Y Su Amores cover
mapenzi ama matamanio? cover
𝐀 𝐬𝐳𝐞𝐫𝐞𝐭𝐞𝐭 𝐤𝐮𝐥𝐜𝐬𝐚 cover
NO DEBI ENAMORARME DE TI  cover

Bunga Belum Mekar

4 parts Ongoing

Kim Sejeong terpaksa menyamar menjadi laki-laki di sekolah asrama khusus putra untuk menggantikan saudara kembarnya, Kim Taehyung yang menghilang secara misterius. Sejeong hampir saja menyerah hingga ia bertemu dengan teman sekamarnya, Cha Eunwoo.