Story cover for Frases:3 by Pikachuu_YuyaftMV
Frases:3
  • WpView
    Reads 29
  • WpVote
    Votes 3
  • WpPart
    Parts 8
  • WpView
    Reads 29
  • WpVote
    Votes 3
  • WpPart
    Parts 8
Ongoing, First published Apr 11, 2016
No soy Muy Experta En Esto Pero Ojala Les Guste<3
All Rights Reserved
Sign up to add Frases:3 to your library and receive updates
or
Content Guidelines
You may also like
UBAYA  WANGU (  Simulizi fupi):  by otchoujr
5 parts Ongoing
Kuishi ni neema kubwa kutoka kwa Allah subahanahu wataAllah, kwani ukiishi unakuwa miongoni mwa waja wachache waliorudhukiwa fursa hii adhimu. Maisha ni kuwa wewe , na sio kumuishi mtu fulani kwa kumuigiza , maana siku yakiisha maigizo huja kudharirika kwa kuwa ule utandu wa dhahabu uliokusitiri hufunuka na kuonekana kutu iliyokuganda . Kuna kumpenda asiyekupenda , ukamshawishi akupende na ukafanikiwa . pia kuna kumpenda akupendaye mkapendana na mkashikamana , kuna kumpenda akupendaye sana ikakuchanganya , na hali zenye kufanana na hizi nyingi kwa mifano . Nilivutiwa na Jamila kwa hulka yake ya kujitanda na mwanya kabla ya kumjua kiundani zaidi , nilianzisha mazoea naye na yalipokolea nilipata hisia za mapenzi juu yake , na nilipomweleza hakuwa na hiyana, tulikuwa wapenzi kichuo chuo na nilimsaidia katika shida na raha , na yeye alinisaidia kimawazo. Kupenda sana ikawa udhaifu, nilipomjua kwa undani zaidi hatukukosa kugombana kwa kutofautiana kauli kutokana na mihemko yangu ya kimwili. Nililemewa na mapenzi na niliishia kupata sup ya somo la Uchumi kutokana na kutumia muda mwingi kuchati naye na yeye pia aliniambia alipata sup ya somo la sheria , nilimblock mara kadhaa na kumuunblock nilipohisi dalili za usaliti , pia nilipomueleza habari ya kunicheat tulipishana kauli . Maisha yamekwenda mbiyo sana , ila kwa sasa simtaki tena maishani kwangu , Alhamdullah sikuwahi kuzini nae maana si halali yangu kwa kuwa hatuna ndoa yenye kutushikamanisha naye. Ubaya wangu ni kuwa nikipenda huwa napenda kweli na nikichukia huwa sipendi tena, Allah amjaalie mafanikio kwenye njia yake anayoiendea , ukurasa wake kwenye kitabu cha maisha yangu nimeufunga.
You may also like
Slide 1 of 10
HIDAYA YA MACHOZI cover
mery ur heart cover
My badboy cover
Brother, don't hate me 🥀 cover
UBAYA  WANGU (  Simulizi fupi):  cover
Delusi Daisy  cover
mały świat 9;  cover
Bad idea, right? - Tom Kaulitz cover
Tytuł Domyślny - Napisz Swój cover
Chapitre 1 sans titre cover

HIDAYA YA MACHOZI

29 parts Complete

Masihara na Jeni wanajipata penzini, hawajui kuwa huo ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa raha maishani mwao. wanapokanwa na kufukuzwa nyumbani na wazazi, wao hadi kupitia changamoto nyingi kutokana na kukubali kuongozwa na hisia zao. kitabu hiki kinasimulia kwa mapana na marefu mengi mabaya wanayokumbana nayo Jeni na Masihara na hata kujipata matatani mara moja ama mbili.