Ni mwongo/ mdangayifu. Anajifanya ati anakuja nyumbani kusoma kumbe huwa anakuja kufanya mapenzi naye Ni mzinzi. Anakula uroda na safia japo yeye si make wake Ni msiri. Bi. Hamida na mumuwe hawajapata kusikia hata maneno Ila ' shikamoo' take kutoka kwa nyuma ya buibui Kama ya mtunguni.