Maisha ni mafupi kujishengesha na binadamu wasokupenda.Afadhali kufanya jambo linalokujenga kimawazo na kukupa tumaini huku nikingoja kifo changu kwani kuishi ni kudura za Mwenyezi na kufa ni faradhi.Dunia imejaa wengi ambao wanataka kukubwaga ili usiongokewe mustakabalini;hata hivyo,ni vyema kumtegemea Mola na kuishi upendavyo.Yote tisa,kumi ni kuwa kuandika ndiko kunanipa maisha yaliyotulia kwa kuwa hii ndiyo njia pekee ya kutema hisia zote.Hakuna wa kuaminika asilani.

IG.erickndungu001
Fb.Erick Ndungu
Twitter.@WeyeMatuko
  • Nakuru
  • JoinedApril 6, 2019




Stories by Erick Ndungu
KISASI by ndunguerick
KISASI
......Alikuwa tayari ameua maajenti waliowatimua na kunadi vitu vyao vya nyumba,akamtafuta kijana yule aliyek...
ranking #8 in love See all rankings
KARATA YA MAHABA by ndunguerick
KARATA YA MAHABA
Opondo,Mwanahabari mpelelezi wa runinga ya Leo anarekodi kanda ya video kuonyesha Katega akishiriki biashara...
Nisamehe Mpenzi by ndunguerick
Nisamehe Mpenzi
Matuko atafanyani agunduapo kuwa Maria ni msaliti? Monicah atafanyani agunduapo kuwa Kelvin ni msaliti?
ranking #4 in shorstory See all rankings
1 Reading List