MWISHO
Hakika,,,,,,USHUJAAA WANGU UMENIPA UMAARUFU,,,nashukuru kwa nafasi hiii alionipa mfalme nitamueshimu na kumlinda maaaana amekitoa mbali Kijiji hichi Cha muchamangwana ,,,,kwenye mapambano na vijij vya jirani na mpaka sasa tupo huru,,,,,,nanyi pia nawashauri mfanye kazi kwa bidii na mashujaaa wa Kijiji kuwa na umoja hekima na busara mtafikia kuwa mashuu Kama Mimi,,,,,muchete bhantu ba muchamangwana alisema Inyasi kwa ujasiri wa Hari ya juuu na kuwatia moyo wananchi wake,,,,,,kwa vigeregere na ngoma walirukaruka WATOTO kwa wazeeee ,,,,Basi Inyasi akatawazwa mbele ya wananchi na machifu wakambarikia ,,,,Kisha kesho yake watu walichangia mbuzi kondoo kuku Bata maindi mtama pamoja na ngano mikate kwanamna take ikatengenezwa ,,,,rasmi Inyasi akamuoa binti wa mfalme kwa jina Zureah,,,,kweli aliokuwa mzuri maisha yaliendelea kuwa Safi na yenye furaha,,,,huku mjomba wake na shangazi yake akawapa nafasi ya uongozi pale katika jumba la kifalme,,,baaada ya MIAKA mitatu mbele Inyasi akapa mtoto wa kiume aliempa jina Shujaa,,,nae aliokuwa na kuwa na nguvu ZAIDI kuliko babu yake,,, yaan baba yake na INYASI,,Na KUPENDWA na raia woote ,,,,Kijiji kilimea furaha na AMANI......,,,,,,,,,,,X, MWISHO,,,,,,,,,x,,,,,,.
Kama umependa story hii,,,tafadhari toa ushauri Nini kiboreshwe na Nini umejifunza pia kipi niongezeee katika story nyingine nyingi Zaid ,,NASHUKURU KWA KUSOMA USIKOSE KULIKE AU KUSHEA NA WENZIO ASANTENI
Imeandaliwa na Mimi
BRAITONI NDETI SANGA
0714780803,0766626773
0626630221
lastlypioneer@gmail.comTHE END
YOU ARE READING
USHUJAA WANGU ULINIPA UMAALUFU
General FictionUSHUJAA WANGU ULINIPA UMAARUFU Lastlypioneer(braitoni one) SEHEMU YA 1 Katika kijiji cha muchamangwana hukooooooo mkoan Zemzegen kulikuwa na familia moja iliyokuwa ni masikin saaana muda mwingine ucku wao jua lao asubui yaoo mchana w...